10 DAYS MISSION
OPENING SCENE
Inaonekana sehemu ambayo inamchanganyiko wa mazingira yenye
miti na yasiyo ya miti, na mahali hapo pamejichora kwa mwanga mweupe kama
mlango mara anaonekana Thoanson akiifika mahali hapo na mwili wake tayari
ulikuwa ukiwaka nuru kuendana na mazingira hayo na mazingira yote yalionekana
kubadilika rangi kuendana na rangi ya vazi alilokuwa amevaa. Wakati akiwa
anazidi kuyasogelea hayo mazingira ndipo sauti ilisikia nyuma ya Leanh ikisema
Leahn: don’t
go please, don’t leave me (huku akilia kwa uchungu na akikimbia)
Thoanson alisimama na kugeuka kumuangalia huku akidondokwa
chozi na Leahn alifika na kumkumbatia na
Thoanson alimwambia
Thoanson: I’m
with you ever , I’ll be here again, wait me here.
Basi Thoanson alijitoa mkononi mwa Leahn na alianza kusogelea
ule mlango na mara aliyeyuka, Leahn alisogelea mlango na mara ulipotea. Alikosa
cha kufanya na kuanza kulia katika mazingira yale na mazingira yote
yalibadilika na kuwa katika hali yake ya kawaiada.
SCENE 1
Ni majira ya usiku Wanaonekana vijana watatu wakiwa wamevaa
wote mavazi ya suti wakielekea sehemu moja pa nyumba ya zamani vijana hao ni Thoanson, Reggan na Jackpol. Vijana
hawa waliingia hadi katika nyumba hiyo na mara walihisi kama kuna mtu yuko
nyuma yao. Wote macho yao yalibadilika na rangi za mavazi yao zilianza kutand
kwenye mazingira yale na ndipo Mr. Colin aliposema huku akitembea kuwafuata
Mr. Colin: ujio
wenu niliutegemea kitambo sana, karibuni nyote makazini kwenu mlipopaacha kwa
miaka mingi sasa.
Alipoongea hayo basi wote walitulia na kila kitu kilirejea
mahali pake na ndipo mr. colin alipoenda kukaa huku akigusa ndevu zake ambazo
zilionekana nyeupe sana. Alimuita
Mr. Colin: Pandora
is like abandoned palace, marooned survive within the jungle
Walimtazama wote kisha walimsogelea alishika mawe matatu
mkononi mwake nay ale mawe yalianza kutoa mwanga mweupe wenye mchanganyiko na
blue na baada ya hapo basi anga lilianza kupiga radi na wale watatu walinyosha
mikono yao kuyaelekea yale mawe na ndipo kila moja alipokea jiwe moja kutoka
mikonono mwa Mr. Colin kisha alisema.
Mr. Colin: a
hundred of years am waiting you, now let’s live as an equal
Baada ya maneno hayo mawe yaliyeyuka mikoni mwao na
waliondoka pasipo kuongea kitu.
SCENE 2
Ni majira ya asubuhi wanaonekana Thoanson, Reggan na Jackpol
wakitembea huku wakizungumza
Reggan: Tumebakiwa
na muda mchache sana n ahata hivyo bado sielewi ni kwa namna gani tunaweza
kulimaliza kwa wakati jambo hili
Jackpol: yote
yanawezeekana cha msingi tupambanie kinacho tuhiusu kwa wakati tu, au unasemaje
Thoan, thoan aliwajibu kwa kutikisa kichwa tu kisha mbele yao alitokea ghafla
binti aliyekuwa anakimbizwa na watu anaonekana alikuwa mwanafunzi na hao
walikuwa wanafunzi wenzie na ndipo alipompamia Thoanson alipompamia, Thoan alikasilika
na kumuinua yule bint huku akiwa amemkazia macho kwa hasira. Reggan na Jackpol
waliangaliana na kisha wakamshika mkono Thoanson na wale vijana waliposogea
karibu na Leahn walisema Tyler, Posey na
Morgan (mikononi mwao walikuwa na magongo)
Tyler: nyie akina
nani mlie kaa katika njia zetu
Thoanson, Reggan na Jackpol walikuwa wakiwatazama tu na Leahn
alikuwa akiwaomba msaada.
Posey: alinyanyua
gongo na kumyoshea Leahn, You are our
meet today, you have no way to escape.
Leahn alijificha nyuma ya Thoan na ndipo Jackpol aliposema
Jackpol: Very
sorry guys, allow us to go coz……. we don’t want to hurt anybody here
Morgan: you
fuck let kill brats
Wakati wakitaka kuwakaribia mr. colin alitokea na
kuwanyang’anya yale magongo na walishangaa hawana kitu tena mkononi na vipo
mikononi kwa mr. colin.
Mr. Colin: you
small brats, leave now alimgeukia Leahn na kumwambia Just go you are safe now
Leahn aliinamisha kichwa ishara ya kuwashukuru kisha
aliondoka na kuelekea nyumbani.
SCENE 3
Ni majira ya usiku anaonekana Leahn akiwa anajisomea na mara
ghafla aliacha kusoma na kukaa huku akipiga piga peni kwenye meno ishara ya
kuwaza na alikuwa akiwakumbuka wale vijana aliowagonga pale njian wakati
anatoka shuleni, alikuwa akikumbuka anaishia kutabasamu na ndipo mama yake
alimuita Miss Choi
Ms. Choi Leahn
mwanangu, njoo chakula tayari
Leahn: ahsante
mom, nakuja
,eahn alitoka hukua akionekana mwenye furaha na alimkuta
mdogo wake amekaa mezani na mama yake akiwa kama mwenye usingizi anasinzia
sinzia, kwa furaha alifika na kuanza kupitisha mkono karibu na uso wake, akaona
hastuki kisha akamnong,oneza amkaa lakini bado hakuamka na ndipo alipomshtua
kwa sauti heeeeeeee alishtuka kwa
sauti na ndipo mama alipogeuka kumuangalia Leahn
Miss Choi: hukui
tu?
Dylah: Mama lakini
umemuona dada aaahh (analalamika kwa kudeka)
Leahn alisogea na kumkumbatia mdogo wake na kumwambia
Leahn: am
sorry dada, sorry haya tule sasa akaanza kumlisha
Mss. Choi: leahn
mbona leo unafuraha sana mwanangu what’s on?
Leahn: aa
hamna kitu mom, ni hali tu ya siku
Ms. Choi: okay
Basi waliendelea kula na ndipo kwa muda kidogo Leahn alianza
kucheka mwenyewe na mama alimuangalia na kutikisa kichwa.
SCENE 4
Ni majira ya asubuhi wanaonekana Miss Choi na Ms Lidya wakiwa
ofisini kwa mwalimu wa darasa akiongea nao kuhusu matukio yanayofanywa na
ilikuwa ni baada ya watoto wao kuonekana kuwa na changamoto pale shulen
Mr. Thomas
Ms Lidya na ms choi, kuna nini
kinachoendelea kwa watoto wenu mbana kama wanaugomvi sana na mara nyingi
ninakutana na taarifa za watoto hao
Ms. Lidya no
sina taarifa yoyote kama kuna jambo linaloendelea kwao
Ms. Choi unajua
ni jambo geni pia nalisikia, kwani kuna nin?
Mr. Thomas Morgan
anakikundi chake wakiwa watatu posey na Tyler, wamekuwa kikwazo sana kwa watoto
hapa shulen na inasemekana wanamsumbua sana Leahn kwahiyo nachotaka kuwaomba ni
kwamba hususani kwa Miss Lidya, muonye mwanao na kundi lake maana imekuwa ni
tatizo hapa shuleni
Ms Lidya ahsante mwalim nitalishughulikia swala hili
Mr. Thomas: wewe
unaweza kwenda nibaki na madam choi. (alinyanyuka na kuwaaga kisha aliondoka)
akasema
Mr. Thomas tafuta
namna ya kumsaidia mwanao ili awe salama la sivyo inaweza kumgharimu sana
katika masomo yake, na hili jambo nakwambia kuwa wale vijana ni wahuni tena
wababya mno. Kuwa nao makini.
Ms Choi sawa
haina shida lakin pia naomba uwe mliznzi pia kwake maana mm mara nyingi niko
mbali nae.
Wakati huo anatoka nje madam lidya alimkuta Morgan amekaa na
rafiki zake sehemu na ndipo posey alipomuonyesha mama yake morgan aligeuka na
kumuona kisha alinyanyuka na kumfuata
Morgan: vipi
mama mbona huku tena saiz
Ms. Lidya unapokwenda
mahali fanya ulichokifuata yasiyokuhusu achana nayo {kwa ukali}
Morgan alimuangalia mama yake pasipo kumuelewa na alionekana
kuchoka na mama yake aliondoka. Na ndipo Morgan aliporudi kwa rafiki zake.
SCENE 5
Ni majira ya usiku inaonekana nyumba ikiwaka moto na nje ya
nyumba alionekana Mr. Ronelt akiangalia yote yanayoendelea na moto ule ulikuwa
ukiambatana na rangi ambazo hazikuwa za kawaida, na wakati huo huo alionekana
mtu akitoka maeneo ya nyumba hiyo inayowaka moto na alipotoka nje Mr. Ronelt
alinyosha mkono na yule mtu alijikuta ameshafika karibu na mr. Ronelt. Mr Ronelt alicheka akazungusha mikono
yake kisha kikatokea kitu mkononi mwake alimfumbua mdomo yule mtu na kumlisha
baad ya alimuacha chini yule mtu maana alikuwa ameungua kisha alinyanyua mikono
juu na kuondoka kwa kuchukulia na miale ya blue na yule mtu alibaki pale
Upande wa pili MR. colin aliona jambo lile n ahata upande
mwingine walipokuwa wamekaa nje Thoanson na wenzie waliona jambo lile na
walijua kuwa kuna tatizo tayari. Na ndipo Thoanson alisema
Thoanson: ronelt
ronelt ronelt, aliposema hivo upepo mkali ulivuma na sauti ilisikika (Remember
your duties)
Wote walitikisa kichwa kwa ishara ya kupokea neon hilo.
SCENE 5
Ni majira ya asubuhi anaonekana Locky akiwa amelala hospital
na mwili wake ukiwa umeungua vibaya na moto, na wakati huo alikuwepo nesi
Judith akiendelea kumuhudumia, wakati anatoka alikutana na Mr. Thomas, na
Thomas aliingia na kufunga madirisha yote kisha alijibadili na kuwa Mr. Ronelt,
alisema
Mr. Ronelt ni
wakati wa wewe kuamka maana tayari imetosha kulala kwako, alisogea na kukaa
kitandani kisha akasema, you are now a man from Pandora
Ghafla alihis kama kuna mtu anakuja na alirudi kwenye umbo la
mr. Thomas kisha aliingia nesi na yeye aliamua kuondoka na ndipo nurse Judith
alipokuwa anaweka dawa cha ajabu anasikia kama mtu anaongea kugeuka kumuangalia
Locky ngozi inajirudisha kwenye hali yake oohhh alipata kiwewe na kuaguka
chini. Locky alinyanyuka na kukaa kisha alichomoa drip na alinyanyuka akiwa mzima
wa afya kabisa. Jambo la ajabu ni kwamba Locky hakuwa na kumbukumbu ya aina
yoyote isipokuwa alikuwa na neon moja, alipofika nje ya hospitali alimkuta
Ronelt amemsubiri kwenye gari na aliondoka naye
SCENE 6
Wanaonekana Posey, Tyler na Morgan wakiwa wameshika magongo
kama kawaida yao wamemzunguka Leahn pamoja na rafiki yake Suzan, huku wakilia
kwa woga mara walianza kusikia kama upepo ukivuma na ndipo walijikuta wote wako
chini, isipokuwa Suzan na Leahn. Walipojikuta chini basi Leahn na Suzan
walikimbia na walipoondoka ndipo Thoan, Reggan na Jackpol walipotokea mahali
kusipojulikana kama upepo, miili yao ilikuwa inawaka mwanga mweupe mchanganyiko
na blue na akina morgan waliogopa sana na kukimbia wote
SCENE 7
Wanaonekana Thoanson, Reggan na Jackpol wakipeana mikakati
majira ya usiku
Thoanson; Tulipewa
siku 10 na sasa tumebakiwa na siku saba tu inatakiwa turudi nyumbani, na
kwasasa nilitamani kila mmoja apambane kwa nafasi yake, kwakuwa wote tunalengio
moja basi kila mmoja afanye kwa upende wake ili tulifanikishe hili swala kwa
wakati
Reggan: yeahh
wazo zuri kiongozi, nadhani tuliishi wazo hilo ili mambo yawe sawa
Jackpol: kweli,
okay sasa, ninawazo pia katika hili jambo, mr. Thoan nadhani wewe ungekuwepo
pande za chuon maana yule mtu aliyeungua na akawarestored anasoma pale na
tayari anayonguvu ya tofauti kidogo kwahiyo, hakikisha wewe unaingia shuleni
kwa namna yoyote.
Thoan: sawa
haina shida juu ya jambo hilo, na pia nyote mjigawe tutakuwa tukikutana mahali
hapa kuona wapi tumefikia na wapi tunaelekea.
Reggan; sawa,
tufanye kazi
SCENE 8
Ni majira ya mchana anaonekana Mr. Thomas Lee akimtambulisha
mwalimu mpya katika darasa la Leahn na posey na kundi nzima na alisema
Mr. Thomas: hello!
Students: Yes
sir
Mr. Thomas: we
have got a new teacher who will help in scientific field and imaginative life,
so, receipt him.
Mr. Thoanson my
name is Thoanson Thobias ahmmmm I need you cooperation, thank you
Baada ya kuongea hayo basi walitoka.
SCENE 9
Baada ya muda mchache, Wanaonekana Morgan na kundi lake wakimjadili
mwalim, walisema
Morgan: huyu
jamaa si alikuwa siku ile na wenzie watatu wakatuzuia hao tusimpate Leahn
Posey: ndiyo yeye
hata hujakosea, lakini acha tumuonyeshe maisha yakoje, si amejileta mwenyew
Morgan: dogo
(huku akimgusa bega tyler) hakikisha anaingia 18 zetu
Tyler: jambo dogo
hilo ngoja tumfanyizie
SCENE 10
Anaonekana Reggan akiwa katika mizunguko yake majira ya
asubuhi na alikutana na Miss Lidya akiwa amekaa na Locky na walikuwa
wakizungumzia namna gani ajali ilivyotokea pale, na ndipo alipowasogelea na
kuanza kuzungumza nao kwa upole
Reggan: habari,
samahani sana kwa kuwavurugia mazungumzo yenu.
Locky alimuangalia kuanzia juu hadi chini na miss Lidya
alisema
Ms Lidya: karibu ukae wala hata usijali
Reggan alisogea na kukaa kisha aliuliza.
Reggan: samahani
naomba kuuliza! Namtafuta ndugu yangu anaitwa Ronelt sijui mnamtambua!
Nimepotezana naye Zaidi ya miaka 10 sasa, tafadharini kama mnamfaham naomba
mnisaidie
Katika swala hilo Locky alimuangalia sana Reggan kwa
kumtamani na Reggan aligeuka na
kumtazama locky alivyokuwa akimuangalia alipotezea kisha alisema
Reggan: inasemekana
kwamba yupo katika mji huu na ndio maana nimekuja kumtafuta
Ms Lidya: hapana
kwa mitaa hii bado sijaisikia jina hilo lakini tutapeana taarifa pindi atakapoonekana
Reggan: ni
muhim sana kuonana nae Napata wakati mgum sana juu yake
Locky: hatumfaham
elewa basi brother
Reggan: okay
sawa, nashukuru sana na mnisamehe sana kwa usumbufu.
Reggan alisimama na kuondoka na ndipo Locky alipomtazama kwa
kumtamani na ms Lidya alisema
Ms Lidya: vip
kwan una Ideal na huyo Ronelt
Locky alimjibu huku akinyanyuka na kusema
Reggan: sina Ideal nae
SCENE 11
Ni majira ya usiku, Wanaonekana Ronelt na Locky wakiwa
wanaongea kuhusu reggan ambaye alionekana kumuulizia sana
Locky: unafuatiliwa
na kijana mmoja ila nilipomuangalia vizuri hakuwa mtu wa kawaida
Ronelt: oohhh
kumbe (huku anatikiswa kichwa) sawa, nimekuelewa, hatuna haja ya kuizungumzia
hiyo mada, isipokuwa unakazi moja ambayo unatakiwa kuifanya kwa wakati huu
Locky: nakusikiliza
kiongozi
Ronelt: vizuri
fumbua macho yako kisha nitazame mimi
Basi lock alimuangalia kwa kumkazia macho na ndipo nguvu ya
mwanga kama wa blue ulitoka ndani ya macho ya ronelt na kuingia kuonekana
ukielekea kwa Lock, Lock alisikia kama maumivu na ndipo alipojikuta kama
kazingirwa na kitu kama ukuta ambao ni transparent wenye rangi za mg’ao. Basi
Ronelt alitabasam na ukuta ole na hali ya hewa ilitulia na ndipo alipotoka kama
anaondoka na mkononi mwake alikuwa ameshika jiwe, alirusha lile jiwe kumuenedea
lock na lock alipoikazia macho basi ile jiwe iligandanda mbele ya uso wake na
moto uliwaka kwenye lile jiwe na likapasuka.
Baada ya hilo alisema
Ronelt: Nenda
kawaangamize hao wako watatu, fanya majukumu yote kama ninavyokuagiza mimi.
Locky alitikisa kichwa kwa ishara ya kukubali kisha
ulionekana moto ukimzingira na kupotea nae Ronelt alichukuliwa na wingu jeupe.
SCENE 12
Majira ya mchana, Anaonekana Jackpol akiwa kwa mjomba Mr.
Colin ndani kwa mr. colin, alikuwa akizungumza nae ndani kuhusu mambo yanayo
fanywa na Ronelt
Mr. Colin: Ronelt
anafanya mambo mengi maumivu anayaacha kwa watu wengi, tumekuwa tukishindana
kwa muda mrefu sana mimi nay eye japo nilikuwa nikiwasubiri kwa ham maana
nilijua lazima mrudi ili mje kukamilisha kisasi mlichonacho juu yake.
Jackpol: samahani
Uncle, umesema kisasi?
Mr. Colin: hapana
umesikia vibaya, nimesema kwakazi sio kisasi (huku akijiumauma)
Jackpol aligeuka na kumuagalia kwa mkazo kisha akasema
Jackpol: unanificha
nini uncle? Kwani Huyu anahusika nini na mimi hata unazungumzia kisas? Nambie
ucle whats on?
Mr. Colin: cool down, nothing, just stay humble and cool. Nilikuwa
sijamalizia story, au ngoja nikakuletee kwanza chakula najua hujala tangu
asubuhi, kaa hapo nisubiri
Mjomba alisimama na ndipo Jackpol alipoingia ndani ya dimbwi
zito la mawazo kwa habari aliyoisikia ya kisasi
SCENE 13
KUMBUKUMBU
Inaonekana nyumba Ikiungua na sauti za watu mama na mtoto
zikisikika ndani na ndipo nje anaonekana mtoto akija haraka alipokuta hali ile
moto umetandana mahali kote alilia na kupoteza faham, na ndipo alipoonekana mtu
akitaka kumchukua na mtu (Mr. Ronelt) huyo alitokea kwenye moto kule, pindi tu
alipotaka kumgusa mara kitu kama mshale wa moto ulipita mkononi mwake na kumbe
Alitokea Mmmoja kati ya viongozi wa Pandora camp na kumzuia asimchukue yule
mtoto, alipogeuka na kumuona aliamua kukimbia kwa kuyeyuka ndipo yule kiongozi Scott alipounganisha mikono yake
kifuani mwa mtoto na mwangaza uliwaka mikononi mwake kisha aliondoka na mtoto.
SCENE 12 CONTINUITY
Baada ya kukumbuka tukio hilo bas hasira ziliongezeka kwa
Jackpol na kuanza mabadiliko ya hali ya mazingira ya mwili wake kwa kuwaka kama
moto wa blue.
Mjomba alirudi na kumuangalia sana kwa makini kisha alisema
Mr. Colin: usijekufanya
kitu ukiwa na hasira itakugharimu sana, acha hasira, najua umesha ujua ukweli
basi tulia.
SCENE 14
Wanaonekana Thoanson akiwa na Leahn wakiongea ofisini na
Thoanson: Leahn
unatatizog gani na kundi la morgan
Leahn: ukweli
binafsi sina tatizo lolote na wao, isipokuwa Morgan aliwahi nitaka kimapenz
nikamkatalia ndio tokea hapo amekuwa na vita na mimi, kwahiyo vitailiyopo kati
yetu ni ya mapenzi tu hakuna jambo linguine.
Thoanson: na
vipi wazazi wako wanalifaham hili jambo?
Leahn: hapana
sijawahi kuwajuza juu ya jambo hili, kwahiyo sina Imani kama wanalitambua
Thoanson: sawa,
kuwa makini nao, maana hawana nia njema na wewe, infact, just go and another
time nitakuita sawa!
Leahn: sawa
nashukuru
Basi Thoan aliendelea na majukum yake
SCENE 15
Ni majira ya asubuhi, Anaonekana Locky akiwa chuoni pamoja na
wanafunzi wengine na hakuwa mwanafunzi, baada ya muda akiwa darasani alikuwa
makini katika hali ya utulivu na kugundua kuwa kuna mwanafunzi mmoja aliye kuwa
kinyume na Thoanson, baada ya darasa alitoka nje na alimuita Morgan, Morgan
alimfuata na kumwambia
Locky: nataka
nikupe kazi moja unifanyie kwa wakati
Morgan: kazi
gani wewe tunasumbuana
Locky: tulia dogo,
usije ukaumia sawa,
Morgan; kwo
unanitisha nini? Alafu sikia siogopagi wajinga kama wewe, nitakugeuza bucha
chap
Locky: (alitabasamu
kwa dharau) achana na hayo, nataka uniambie huyu Thoan anashida gani na wewe,
nataka nikusaidie
Morgan: Bwana
Mambo yangu hayakuhu, wewe fuata yako (kwa dharau)
Locky alikasirika na kumbana ukutani huku macho yakiwa
yamebadilika rangi alimshika shingoni kwa mkono wa kushoto na kumnyanyua kwa
mkono mmoja kisha akamwambia
Locky: jambo gani
linaloendelea kati yenu
Morgan: (kwa
uoga na maumivu alisema) ananiingilia kwenye mapenzi
Locky: (alimuachia
na kumwambia ) uwe na adabu, mpenz wake anaitwa nani?
Morgan: Leahn
Locky alicheka na kumnyoshea dolr gumba akimanisha poa kisha
aliondoka, Morgan alimuangalia sana na kuogopa mno.
SCENE 16
Anaonekana Locky akiingia chumbani mwa Morgan usiku na morgan
alikuwa amelala, na Lock alimuita Morgan, Morgan alishtuka na kumkuta lock
aliogopa sana na kuanza kumuuliza Morgan:
umefuata nini?
Locky: nimekumiss
(huku akitabasam)
Akimukazia macho morgan aliogopa na Lockky alimwambia,
nitazame
Alipomtazama basi Lock alimwambia nakupatia zawadi, nenda
kamshinde adui yako ili umpate umpendae sawa.
Morgan alitikisa kichwa ishara ya kupokea neon lile kisha
macho ya Locky yaliwaka na nuru ile iliingia kwa Morgan na ndipo morgan
alipopiga kelele za maumivu maana alisikia kama moto unawake ndani yake, mama
yake alisikia na alikuja haraka hadi kwa morgan, alimuuliza.
Ms. Lidya: kuna
nini Morgan
Morgan: hakuna
tatizo mama, na wakati huo Locky alikuwa kashaondoka.
SCENE 17
Ni majira ya usiku wanaonekana Thoanson, Reggan na Jackpol wakiongea
kuhusu walipofikia lakini Jackpol alikuwa na hasira mno kulingana na kwamba
tayari alijua chanzo cha matatizo yaliyoikumba familia yake
0 comments:
Post a Comment